Judges 15:19
19 a Bwana akafunua shimo huko Lehi, pakatoka maji. Samsoni alipoyanywa, nguvu zikamrudia na kuhuika. Hivyo chemchemi ile ikaitwa En-Hakore, ▼▼ En-Hakore maana yake ni Chemchemi ya Aliyeita.
nayo iko mpaka leo huko Lehi.
Copyright information for
SwhKC